"Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake...ufunuo 16:15"

Thursday, September 15, 2016

"kwa hiyo ndugu, jitahidini zaidi kufanya imara KUITWA KWENU NA UTEULE WENU; maana mkitenda hayo hamtajikwaa kamwe. Maana hivi mtaruzukiwa kwa ukarimu kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana wetu, mwokozi wetu YESU KRISTO..2pet 1:10"

No comments:

Post a Comment