"Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake...ufunuo 16:15"

Sunday, September 18, 2016

USHUHUDA

ushuhuda wa dada aliyekuwa amechukuliwa mume wake na mwanamke mchawi akiachwa bila kitu peke yake na mumewe akiwa ameondoka na watoto wake 4, na kumuacha katika hali ya umaskini na ufukara kiasi ambacho ilimfanya akose hata mahali pa kulala, isipokuwa katika sehemu za mabaraza ya maduka wakati wa usiku akingojea yafungwe. Lakini alipomwomba BWANA, BWANA YESU  akasikia kilio chake, na siku moja alipokuwa kanisani kwenye ibada Mungu alimfunulia nabii mmoja miongoni mwa watumishi, na kumweleza dada huyu matatizo yake yote, usiku huo huo Bwana alimtoa katika umaskini wake wote, na kumgeuza kuwa milionea na kupata makazi  mapya na Bwana kumuahidia kurudi kwa mume wake na watoto wake. Tazama video hapo chini...

JINA LA BWANA LIBARIKIWE KWA FADHILI ZAKE KWETU SISI WANADAMU!


No comments:

Post a Comment