"Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake...ufunuo 16:15"

Monday, October 10, 2016

UWEZA WA BWANA YESU KRISTO KATIKATI YETU SISI WANADAMU



Jinsi rehema za MUNGU zilivyo nyingi kwetu..huwatuma malaika zake kutuangalia sisi usiku na mchana, na kutuokoa kutoka katika matatizo yetu pale tunapoliitia jina la lake. ASHUKURIWE BWANA WETU YESU KRISTO MILELE NA MILELE AMINA..

No comments:

Post a Comment