"Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake...ufunuo 16:15"

Saturday, September 17, 2016

Kanisa la Bride Assembly- nigeria.




mahubiri ya ndugu Moses Alu, wa kanisa la Bride assembly Nigeria. Kwa neema za Mungu alizotupa tumetazama mafundisho mengi ya kanisa hili na tumeona kwa sehemu kubwa yanaendana na kweli ya biblia kwa yeyote atakayesikiliza ayatazame pia kwa neno na yatamsaidia kupata kuijua ile kweli zaidi. ujumbe unaofundishwa ni : ''KWA NINI SISI SIO MADHEHEBU'' au kwa kiingereza WHY WE ARE NOT A DENOMINATION;
 Mungu akubariki.!

No comments:

Post a Comment