Filamu ambayo wengi wanaifahamu, yenye ujumbe mzuri unaomfaa Mkristo yeyote ambaye yuko katika safari yake ya kwenda mbinguni. kama biblia inavyosema (2 petro 2:11..wapenzi nawasihi kama WAPITAJI NA WASAFIRI ziepukeni tamaa za mwili zipiganazo na roho, muwe na mwenendo mzuri katika mataifa ili iwapo huwasingizia kuwa watenda mabaya,wayatazamapo matendo yenu mazuri, wamtukuze Mungu siku ya kujiliwa.)
Nawezaje kupata kitabu hiki? Nakumbuka niliwai kukisoma zamani sana wakati nilikuwa bado mdogo. Tafadhali naomba mnielekeze niwezapo kukipata. Asanteni
Good massage be blessed
ReplyDeleteNawezaje kupata kitabu hiki? Nakumbuka niliwai kukisoma zamani sana wakati nilikuwa bado mdogo. Tafadhali naomba mnielekeze niwezapo kukipata. Asanteni
ReplyDeleteNami nakihitaji Sana.
DeleteKitabu hiki takipata wapi
ReplyDelete