"Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake...ufunuo 16:15"

Friday, September 16, 2016

HE CAME TO SET THE CAPTIVES FREE- BY REBECCA BROWN




Kitabu hichi kipo katika lugha ya kiingereza, tumeona tukiweke huku kwa yeyote atakayesoma kitamsaidia sana kujua hila za yule mwovu katika ulimwengu wa roho na shetani jinsi anavyowafunga watu, kwa kutumia vikundi vya kichawi (yaani occult groups) kama vile freemasons, brotherhood, sisters of light n.k. habari hii inamwelezea dada mmoja anayeitwa ELAINE Mmarekani jinsi Kristo alivyomkomboa kutoka katika kamba hizi za kuzimu akiwa kama malkia wa shetani mwenyewe, ameeleza mambo mengi mbalimbali jinsi shetani anavyowateka watu wengi kupitia miziki ya rocky, filamu za kutisha, sana sana kwa watoto wadogo, jinsi wachawi wanavyotumwa kuharibu mipango ya Mungu yao na mambo mengine mengi hivyo ni muhimu kukisoma utaona jinsi dada huyu mkristo REBEKA alivyotumiwa na YESU KRISTO kumtoa dada huyu katika kamba hizi za kuzimu kwa namna ya ajabu. kwa kujua zaidi soma kitabu hicho hapo chini.

Mungu akubariki!
download.>>>: He came to set the captives free

No comments:

Post a Comment