"Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake...ufunuo 16:15"

Monday, February 26, 2018

 "Kama unataka kuzungumziwa vizuri , mzungumzie kwanza vizuri mtu mwingine, na ndipo na wewe utazungumziwa vizuri na watu wengine, Mhubiri 11:1 Tupa chakula chako usoni pa maji; Maana utakiona baada ya siku nyingi."

William Branham (48-0302 Uzoefu)

No comments:

Post a Comment