"Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake...ufunuo 16:15"

Monday, February 26, 2018

"Ni heri nimuishie Mungu nikiwa na maji na mkate tu, kuliko kumuishia shetani pamoja na kuku wa kukaanga, na lamba lamba kutwa mara tatu..."

William Branham.
(53-0831 Mungu alizungumza na Musa)

No comments:

Post a Comment